Jumamosi, 9 Aprili 2016

JE WAJUA MADIRISHA YANAYOONGEZA USALAMA KATIKA NYUMBA YAKO LINAPOTOKEA JANGA LA MOTO?

HISTORIA  YA JANGA LA MOTO

Katika majiji mengi hasa jiji la Dar es salaam,  kuna familia nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na janga la moto.

Majanga yanapotokea  kwa kuwa nyumba  za mjini zimejengwa kwa uimara mkubwa,zenye mageti na makufuli mengi .Milango na madirisha yenye vyuma ili kuzuia uhalifu inakuwa ni vigumu sana kuwaokoa watu wakati wa moto.Magari ya kuzima moto huwa yapo mbali na si rahisi kufika kwa wakati.

MOTO MBAYA SANA UNATEKETEZA MALI ZOTE













JANGA LA MOTO NA SABABU ZAKE
Janga la moto hutokea pale moto unapokuwa mkubwa na kusababisha madhara.Sababu za janga la moto .janga  la moto husababishwa na hitilafu za umeme ,hitilafu kwenye majiko ya gesi,mishumaaKatika majiji mengi hasa jiji la Dar es salaam,  kuna familia nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na janga la moto
 NYUMBA IKITEKETEA MOTO BILA HURUMA




MADIRISHA YA USALAMA

MADIRISHA ya usalama ni madirisha yenye uwazi maalum yaliyowekwa  ajili ya kutorokea au kuokolea wakati wa ajali za moto au majanga mengine .Madirisha ya usalama hutumia wavu laini uliorahisi kutoboka ,vioo laini visivyo umiza .dirisha la chuma lililotengenezwa rasmi na kuachwa nafasi maalum wakati wa janga la moto liwe rahisi  kufunguka kwa usalama zaidi. Dirisha hili si mahali pa kuchezea watoto weka kitasa maalum ambapo kitavunjwa baada tu ya ajali ya moto.Usiweke tthamani au kuruhusu watoto kucheza kwenye dirisha.Hakikisha unaweka vibandiko  juu ya dirisha ili kujilisha wageni hilo ni dirisha la usalama.

DIRISHA LA USALAMA LIKIWA LIMEWEKWA ALAMA MAALUM
 
LINK 
HII NI LINK ITAKAYOKUFANYA UWELEWE ZAIDI NAMNA AMBAVYO MADIRISHA YANAONGEZA USALAMA.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni