Alhamisi, 21 Aprili 2016

VIJUE VITU VINNE MUHIMU KATIKA KUPAMBA NYUMBA TANZANIA

Katika Tanzania nyumba ni sehemu ya muhimu sana muda mwingi hutukuta katika nyumba zetu wageni rafiki zetu hutembelea nyumba zetu.Tungependa sana kuona nyumba zinapendeza zinavutia.Hapa unaweza kujionea namna utapamba nyumba yako na kuifanya iwe ya kuvutia sana kwa kuzingatia mambo yafuatayo manne.
 
Ujumbe
 
Hii ni hatua ya kwanza ya upambaji.lazima uzingatie ujumbe unaotaka kuufikisha kwa jamii unapotaka kupamba nyumba yako.Unaweza kutoa ujumbe wa tamaduni ulionayo hususani kabila,nchi na kupata mapambo ya nyuma yako.Unaweza ukaangalia daraja unalotaka nyumba yako ionakane ya daraja la utajiri,maskini au la kati.pia unaweza ukapamba jinsi ulivyo mfano vitu vya jinsia yako.
Rangi
 
Hii ni hatua ya pili ya upambaji ambapo baada ya ujumbe kujulikana rangi zitaendana sambamba na ujumbe unaotaka kuutoa na kupendezesha nyumba yako zaidi.Pia rangi ukiziweka sehemu mbalimbali kama samani za ndani,madirisha,na vifaa mbalimbal vya ndani.vitapendezesha nyumba yako zaiadi ya kuweka Randi kwenye ukuta tu.
 
nafasi
matumizi ya nafasi kama kuweka vitanda vyenye makabati,makichi ya vitanada,vitanda vya makiochi,vinasaidia sana kutunza nafasi na kuacha chumba chako kikiwa kimependeza sana.
 
vitu vya kumbukumbu
unaweza ukatumia meza za zamani ,viti vya zamani,ukaviboresha  na kuonekana muonekano mzuri pasipo kuviuza au kuvitupa
HII NI LINK YA NYUMBA YAKO KUELEZEA ZAIDI VITU VINEE YA KUPAMBA NYUMBA..
http://ghar360.com/blogs/home-decor/4-key-aspects-of-home-decoration-to-consider
SEBULE IKIWA IMEUNGANISHWA NA CHUMBA CHA KULIA CHAKULA
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
RANGI YA MAKOCHI IKIWA IMEFANANISHWA NA RANGI YA UKUTA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni